Friday, April 29, 2011

HARUSI YA PRINCE WILLIAM NA VITUKO VYA KILA NAMNA

GORDON BROWN ,TONNY BLAIR WAKOSA MUHALIKO,BALOZI WA SYRIA NA MALAWI MIHALIKO YAO YAFUTWA GHAFLA  


Harusi ya mjukuu wa Malkia Elizabeth wa uingereza inayotaraji kufungwa masaa machache yajayo imeambatana na vituko mbalimbali na vya kustahajabisha baada ya mawaziri wakuu Tony Blair na Gordon Brown kunyimwa muhaliko huo muhimu kilichopelekea watu hawa kukosa muhaliko ni kile kinachodaiwa watu hawa ni wale wanaopinga utawala wa kifalme nchini humo kuwa hauna mana yoyote ktk dunia ya sasa,kwahiyo hawa mawaziri ni maadui wakubwa wa mda mrefu na koo hii ya kifalme,
Upande mwingine balozi wa Syria amefutiwa muhaliko wake baada ya vyombo vya habari kuandika habari nyingi kuwa balozi huyo wa Syria awezi kuhudhuria sherehe hizo ikiwa nchini kwake kuna matatizo bado,nae balozi wa Malawi kafukuzwa nchini humo baada ya balozi wa Uingereza nchini  Malawi kufukuzwa nchini Malawi kwa madai kuwa balozi huyo anamshutumu raisi wa nchi  hiyo bwana Joseph Chisano kuwa ni dikteta.na wako wengi muhimu waliokosa muhaliko huo basi hivi ni vituko vya kustahajabisha ndani ya harusi hii ya mjukuu wa malkia Elizabeth

    
 
GORDON BROWN



TONY BLAIR



Malawian ambasador


Prince William na Keth

Sunday, April 24, 2011

MOVIE YA BLACK FOREST IKO TAYARI KUINGIA SOKONI,

Na haya ni baadhi ya matukio yaliyopo kwenye filamu ya BLACK FOREST ambayo muda wowote itaingia sokoni,chini ya Director wa kike nchini Carolyne Peter Zayumba na timu yake nzima.





 









HAPPY EASTER

Kampuni ya SMILING FACES inawatakia wapenzi na mashabiki wake heli ya PASAKA,iwe ya amani na furaha,

WHY WILLIAM WONT KISS THE BRIDE

.tweet112..The Royal Wedding

Prince William and Kate Middleton announce their engagement in London

LONDON--Even being the future king of England and the co-star of one of the most viewed weddings in history will not spare Prince William the frustration of being denied one typical marriage custom.

Sorry, William, you may not kiss the bride.

As he watches Kate Middleton walk down the aisle at Westminster Abbey on April 29, William will have the traditional groom's checklist stashed in his memory. He will surely mentally admire Kate's dress, nervously go over his vows one final time in his head, and prepare to listen to the solemn words of the archbishop of Canterbury in his final seconds as a bachelor.

Thursday, April 21, 2011

MASTAR HAWA WOTE NDUGU

NI KALAPINA, SOLO THANG NA T I D

                                                                        Kalapina

                                                                     Solo Thang

                                       T i d


JAY MOE

Ni wasanii wa muziki hapa nchini Tanzania,na wote washafanya vizuri kwenye medani hii,najua wajua lakini nataka nikujuze zaidi,ni kati ya Kalapina ,Solo Thang na T i d,mwanzo ilikuwa ikijulikana kati ya kalapina na T id ila imekuja kugundulika badae sana baaada ya ndugu hawa wawili Kalapina na Solo thang,wazazi wao ndio waliokuja kuwashtua kuwa wao ni ni ndugu Kalapina anamuita dada mama yake na Solo thang,kwahiyo Solo anamuita Mjomba,kama ulishasikia kwenye wimbo mpya wa Solo amesema katika rymes zake MJOMBA KALAPINA,basi ni hayo,na upande mwingine inasemekana pia kati ya T I D na Jay Moe pia ni ndugu.

Wednesday, April 20, 2011

MARIAH CAREY NA NICK CANON KUFUNGUA NURSERY

Mariah Carey's twins are due any day now, and the diva and her hubby Nick Cannon are fully prepared for their babies' arrival! The couple, who is expecting a boy and a girl this spring, gave Life & Stylean exclusive first look at their kids' nurseries -- naturally the two have outfitted rooms for the twins at their Bel-Air, California, mansion and their NYC apartment.


Mariah Carey alisema kuwa anataka kuandaa chumba kizuri kwa ajili ya mapacha wake,mana anataka kutengeneza kitu cha tofauti duniani kwakuwa amepata mapacha wa jinsia mbili tofauti ilimuwia vigumu kuandaa chumba hicho,











Sunday, April 17, 2011

TANZANIA RED CARPET AWARDS YAJA MWEZI JULY 2011

HAWA NI BAADHI YA WALIOPATA TUZO MWAKA JANA

Issa michuzi akipata tuzo ya Blog bora ya mwaka

                                       Shamim akipata tuzo ya Blog bora ya fashion

                                      Johari alipata tuzo ya msanii bora wa kike

                                      Dina Marios alipata tuzo bora ya kipindi cha jamii

                                                                 Ally Remtullah

                                       Mustapha Assanal alipata tuzo ya mbunifu bora wa kiume

Kikosi cha Mizinga pia walipata tuzo la kundi bora la hip hop

Fideline alipata tuzo ya mwanamitindo mwenye mvuto

Saturday, April 16, 2011

JAPHET KASEBA APOTEZWA NA MADA MAUGO

Haya ni mambo matano(5) yaliyofanya Kaseba kupoteza mchezo huu
kilichofanya kaseba kushindwa mchezo huu cha kwanza akujiamini tangu mwanzo wa mchezo,akuonesha mashambulizi yoyote yale zaidi ya kusubiri Maugo amletee mashambulizi,la pili Kaseba ana maamuzi sahihi yeye kama yeye,la tatu wapambe wake na kaseba ndo chanzo kikubwa cha kuharibu mchezo huu kuingia uwanjani na kuleta fujo,la nne Kaseba hakuwa tayari kuendelea na mchezo kwani alicheza faulo ya makusudi kabisa baada ya kumkata mtama Maugo nakwenda hadi chini, la tano Kaseba alivunja kanuni za mchezo wa masumbwi duniani kwa kuvua groves kabla refa ajamaliza pambano iliyopelekea refa kumpa ushindi Maugo,hii inaonyesha jinsi gani Kaseba sifa yake ilivyoshushwa,kwa ushauri tu Kaseba arudi kwenye kick boxing uku awaachie wenye kujua.
               MADA MAUGO NA JAPHET KASEBA





                ZUNGU NA YOHANA ROBERT



hapa Kaseba baada ya kuharibu pambano raundi ya saba ya mchezo

NICOLAS CAGE ARRESTED

.




NEW ORLEANS - Actor Nicolas Cage was arrested after he got drunk in the city's French Quarter and argued in the street with his wife over whether a house they were in front of was theirs, police said Saturday.

The couple was in front of a home that Cage insisted they were renting, police said. When she said it wasn't theirs, Cage grabbed her arm, according to a police news release.

Cage started hitting vehicles and tried to get into a taxi, police said. An officer saw that Cage was drunk and told him to get out of the cab. Cage then started yelling at the officer.

The actor has been booked on charges of domestic abuse battery, disturbing the peace and public drunkenness. He was released on $11,000 bond Saturday.

Representatives for Cage could not immediately be reached Saturday.
Cage has been a frequent visitor to New Orleans, where he has owned property and shot movies. He has also had financial troubles, despite being one of the highest-paid stars in Hollywood.

He had been behind on taxes and has said he's had to sell numerous assets because of his finances. He sued his former business manager in October 2009 for $20 million, claiming the man's advice led him to financial ruin.

Cage won an Academy Award for his performance in 1995's "Leaving Las Vegas."





.

Tuesday, April 12, 2011

HIP HOP KUIONGANISHA AFRIKA MASHARIKI

Kati ya harakati zifanywazo na KIKOSI CHA MIZINGA ni kutanua wigo wa kimuziki kusambaza harakati si Tanzania tu bali ni Afrika nzima, kwa kuanza harakati hizi wameanza kwanza na Afrika Mashariki,kati ya vitu walivyoanza navyo kwa kushirikiana na baadhi ya wasanii mbalimbali kutoka sehemu tofauti kama Kampala Uganda,Kigali Rwanda,Narobi Kenya,Bujumbura Burundi na nchi za karibu na Tanzania,Kikosi imeshirikiana na wasanii kama Back T kutoka Kigali Rwanda kwa kufanya wimbo wa pamoja unaokwenda kwa jina la URAFIKI umefanyika ktk studio za TATOO RECORDZ chini ya producer Pallah wakizungumzia ukaribu wao na harakati za kuionganisha Afrika kwa HIP HOP

  Wasanii Ibrah Rush,Kalapina,Back T na Suma Lago
             Kalapina na Back T

KIPINDI CHA SIMU YA MKONONI FROM TBC1

   Muigizaji Hidaya akiwa na Martin sound man wao ktk pozi


Msanii Mike ktk pozi

Wasanii wa Simu ya mkononi wa kiwa ktk kutengeneza kipindi hicho cha SIMU YA MKONONI chini ya Cameraman wao Ibrah Mpinga

Monday, April 4, 2011

Search for radiation leak turns desperate in Japan



TOKYO – Workers used a milky bathwater dye Monday as they frantically tried to trace the path of radioactive water seeping into the ocean from Japan's tsunami-damaged nuclear plant.

The crack in a maintenance pit discovered over the weekend was the latest confirmation that radioactivity continues to spill into the environment. The leak is a symptom of the primary difficulty at the Fukushima Dai-ichi complex: Radioactive water is pooling around the plant and preventing workers from powering up cooling systems needed to stabilize dangerously vulnerable fuel rods.

The plant operators also deliberately dumped 10,000 tons of tainted water — measuring about 500 times above the legal limit for radioctivity — into the ocean Monday to make space at a storage site for water that is even more highly radiactive.

Engineers have turned to a host of improvised and sometimes bizarre methods to tame the nuclear plant after it was crippled in Japan's magnitude 9.0 quake and tsunami on March 11.

Efforts over the weekend to clog the leak with a special polymer, sawdust and even shredded newspapers failed to halt the flow at a cracked concrete maintenance pit near the shoreline. They still can't say for sure if the pit, where radioactive iodine was measured at 10,000 times the legal limit, is the source of the leak.

Suspecting they might be targeting the wrong channel to the pit, workers tried to confirm the leak's pathway by dumping several pounds (kilograms) of salts used to give bathwater a milky hue into the system, plant operator Tokyo Electric Power Co. said Monday.

"There could be other possible passages that the water may be traveling. We must watch carefully and contain it as quickly as possible," said Hidehiko Nishiyama, a spokesman for the Nuclear Safety and Industrial Agency.

Radioactive water has pooled throughout the plant because the operator has been forced to rely on makeshift ways of pumping water into the reactors — and allowing it to gush out wherever it can — to bring down temperatures and pressure in the cores.

Government officials conceded Sunday that it will likely be several months before the cooling systems are completely restored. And even after that happens, there will be years of work ahead to clean up the area around the complex and figure out what to do with it.

The makeshift system makes it difficult to contain the radiation leaks, but it is aimed a preventing fuel rods from going into a full meltdown that would release even more radiactivity into the environment.

TAYLOR SWIFT WINS ACM ENTERTAINMENT OF THE YEAR

Taylor Swift
AP – Taylor Swift arrives at the 46th Annual Academy of Country Music Awards in Las Vegas on Sunday, April …


 
LAS VEGAS – Taylor Swift captured entertainer of the year at the Academy of Country Music awards Sunday night, beating out the likes of Keith Urban, Brad Paisley and the night's overall winner, Miranda Lambert.

Swift had been nominated for four awards; it was her only win of the night, but it was the biggest one. An excited and nervous Swift said she was losing her mind after getting the award.

It was the first time 21-year-old had won the night's most prestigious honor; the award is voted on by the fans.

Sunday, April 3, 2011

DENNIS RODMAN BREAKS DOWN

Emotions got the better of Dennis Rodman just minutes into a news conference he presided over in Auburn Hills, Mich., on Friday. Rodman is in town to have his No. 10 retired by the Detroit Pistons. He was remarkably composed throughout the better part of the question-and-answer session with media, but broke down while assessing his time spent as a part of Detroit's two championships in 1989 and 1990, telling the media that he felt as if he "doesn't deserve to have [the number] retired," because there "was so much else I should have done" in Detroit.


"I didn't fully understand the value I had for this organization," Rodman admitted. After his relationship with the Pistons soured following the breakup of the Chuck Daly-coached championship teams, Rodman forced a trade in 1993 to the San Antonio Spurs. He hasn't had much contact with the organization in the years since, pointing out that this was his first time back in the Detroit area since his final season with the Chicago Bulls in 1998.

Rodman also shed tears while discussing the recent passing of former Pistons president of public relations Matt Dobek, coach Chuck Daly and team owner William Davidson. Pointing out that those three "kept a lot of guys happy," Rodman spoke effusively about how the night would not be the same with the three absent from the proceedings.

The former two-time Defensive Player of the Year also relayed a story where Daly once pulled a frustrated Rodman into his office to remind him that "good things come to those who wait." And the lesson seems to have been picked up in Rodman's personal life, as relayed in his inimitable manner.

The Pistons put together a halftime tribute video for Rodman, whose children will watch the presentation. "This is going to be the first time," Rodman said, "they get to see a video of their father doing something positive with his life."

(We'll have further coverage of Rodman's jersey retirement ceremony as the weekend moves along, here at Ball Don't Lie.)

Photo credit: AP

Related: Chicago Bulls, Detroit Pistons, San Antonio Spurs