Showing posts with label smiling faces company 2011. Show all posts
Showing posts with label smiling faces company 2011. Show all posts

Wednesday, May 11, 2011

BABY BOY WA IRENE UWOYA KUPEWA JINA LA STAR HAPA NCHINI?

Msanii wa filamu hapa nchini Irene Uwoya,amejifungua hivi karibuni,baada ya kukaa kwa mda mrefu tangu alipofunga ndoa mwaka 2008,Irene amejifungua majuzi tarehe 8 may katika hospitali ya Regency ya upanga jijini dar es salaam,na amebahatika kupata mtoto wa kiume,Irene baada ya kujifungua mtoto huyo amerudi Cyprus alikokuwa akiishi na mumewe huyo,mpaka sasa haijafahamika mtoto amepewa jina gani,basi maswali mengi yaliyokuja hivi sasa,watu wakiuliza mtoto ni wa kiume  kama yeye atatoa jina je atatoa jina la kwao au atachagua jina la star yoyote wa hapa nchini ambao amewahi kucheza nao filamu? haya ni maswali tu na fikra za watu majibu yote anayo yeye.



Irene Uwoya


Irene Uwoya akiwa na mumewe siku ya harusi yao

Thursday, April 21, 2011

MASTAR HAWA WOTE NDUGU

NI KALAPINA, SOLO THANG NA T I D

                                                                        Kalapina

                                                                     Solo Thang

                                       T i d


JAY MOE

Ni wasanii wa muziki hapa nchini Tanzania,na wote washafanya vizuri kwenye medani hii,najua wajua lakini nataka nikujuze zaidi,ni kati ya Kalapina ,Solo Thang na T i d,mwanzo ilikuwa ikijulikana kati ya kalapina na T id ila imekuja kugundulika badae sana baaada ya ndugu hawa wawili Kalapina na Solo thang,wazazi wao ndio waliokuja kuwashtua kuwa wao ni ni ndugu Kalapina anamuita dada mama yake na Solo thang,kwahiyo Solo anamuita Mjomba,kama ulishasikia kwenye wimbo mpya wa Solo amesema katika rymes zake MJOMBA KALAPINA,basi ni hayo,na upande mwingine inasemekana pia kati ya T I D na Jay Moe pia ni ndugu.