Wednesday, March 30, 2011

MTOTO WA KANAL GHADAF AFARIKI DUNIA

Mtoto wa raisi wa Libya kanali Gadaf amefariki dunia katika hospitali iliopo Tripoli nchini Libya baada ya kupata shambulio siku ya jumamosi baada  ya ndege ya kivita ya jeshi la Libya lubani kuidondosha makusudi ktk nyumba aliyokuwa akiishi mtoto huyo wa Ghadaf,iliyosababisha aungue moto iliyofanya apate majeraha yaliyosababisha alazwe mpaka kifo kilipo mkuta.                                                                                         

No comments:

Post a Comment

wadau unakaribishiwa kutoa comment ilimradi ziwe za kujenga na kuelimisha pia