Monday, January 30, 2012

JAMANI uswahili KUNAVITUKOOO??!!











ETI DIAMOND ALIMFUMANIA WEMA MPAKA AKACHOKA




“Nikianza na suala la kumfumania kila kukicha akisaliti penzi letu kwa wanaume wengine, nilishamfumania Wema mpaka nikachoka.
“Listi ya wanaume wa Wema ni ndefu, lakini fumanizi kiboko ni lile nililomkuta kitandani kama alivyozaliwa akifanya …(kitu kibaya) na rafiki yangu…(staa wa filamu za Kibongo),” Diamond aliezea kwamba alimvuta pembeni akampa kisago, alimuomba msamaha yakaisha, lakini bado aliendelea na mabwana zake. "Kinachoniuma ni kitendo cha kunitangaza kuwa ameniacha wakati mimi ndiyo nimemuacha."


Kuhusu swala la kurudiana na Wema, Diamond alisema " ameshakuja nyumbani na watu kibao kuniomba msamaha na akalala kwangu, nilimwambia awaombe radhi mashabiki wangu kwa kunichafua ‘then’ sitakuwa na kinyongo moyoni mwangu, nitamsamehe kama binadamu lakini sijui kama tutashirikiana tena mambo ya chumbani".

Kuhusu Uhusiano wake na Jokate Mwegelo, Diamond alikana kwamba hakuwa na uhusiano wowote, " Namheshimu sana Jokate, sijui ningeanzia wapi kumtongoza. Aisee, asikwambie mtu, Wema alimchafua mtoto wa watu bila sababu yeyote na wivu wake wa kimapenzi. Hakuna kitu Jokate anachojuta kama kukubali kufanya video yangu kwani tukio moja tu, lilimharibia vibaya ‘future’ yake".


Kutokana na hali hiyo, mashabiki wengi wa Wema na Diamond wameshauri kwamba kuliko kuchafuana majina na kuharibiana kwenye mitandao tofauti, ni vyema Wema na Diamond wakutanishwe ili haya maswala yamalizike maana wengi hasa vyombo vya habari vinachukua nafasi hii kuuza habari zao kwa watu bila ya Wema na Diamond kufaidika chochote. Ni vyema maswala haya yakaisha baina yao kila mmoja akachukua hamsini zake.

Sunday, January 29, 2012

TWIGA STARS YA NG'ARA UWANJA WA TAIFA

Team ya taifa ya wanawake Twiga stars 'the dream team' imeonyesha umahiri mkubwa katika kulisakata soka hapa nchini na kuiperusha bendera ya taifa juu kabisa baada ya kuifunga timu ya taifa ya Namibia mabao 5 kwa 2. Meneja wa kikosi hicho Kocha mzoefu Charles Bonifas Mkwasa jana alipokea sifa kem kem baada ya kikosi chake kuonyesha umahiri mkubwa  hasa nyota wa mchezo huo Mwanahamisi Omari.

Dream Coach Charles Bonifas Mkwasa
Mwanahamisi Omari akihojiwa
Twiga walionekana kutawala sana mchezo huo. Licha ya Namibia kusawazisha mabao mawili ya kwanza, lakini walipoteana katika dakika za mwisho na kuwapa mwanya kinadada wa Kitanzania kuonyesha makeke yao na kufanikiwa kupata mabao matatu katika dakika 10 za mwisho.

Washabiki wakiwa katika nyuso za furaha.

Mbali na ushindi huo timu hiyo ilikabidhiwa shilingi milioni nne kutoka kwa Waziri wa Habari, Utamaduni na michezo, Dk Emmanuel Nchimbi pamoja na wabunge walioahidi kutoa shilingi milioni moja ikiwa timu hiyo itashinda.
Katika mchezo huo, mabao ya  Namibia yalifungwa na Juliana Skrywer, pamoja na bao moja la zawadi baada ya beki Fatma Bashir kujifunga.
 Mwanahamisi Omari akipongezwa na wenzie

 Twiga walionekana kutawala sana mchezo huo. Licha ya Namibia kusawazisha mabao mawili ya kwanza, lakini walipoteana katika dakika za mwisho na kuwapa mwanya kinadada wa Kitanzania kuonyesha makeke yao na kufanikiwa kupata mabao matatu katika dakika 10 za mwisho.
Baada ya mechi hiyo, Twiga walipata wakati mgumu walipotaka kuondoka uwanjani baada ya mashabiki kulizingira gari lao huku wakishangilia na kuimba kwa furaha, polisi waliingilia na kutoa msaada.
Baada ya ushindi huo, Twiga itacheza na Misri au Ethiopia katika hatua inayofuata na kocha wa timu hiyo, Boniface Mkwasa, ametamba kuendeleza ushindi.






Friday, January 27, 2012

IRENE UWOYA NA JANETH WANASWA LIVE MAISHA CLUB

                                                           
                                                        IRENE UWOYA


                                                       IRENE UWOYA

Irene Uwoya, alinaswa akiwa na Janeth Mathias ambaye aliyewahi kumtuhumu kuwa ndiye anayemharibia kwa mume wake, Hamad Ndikumana.
 marafiki zao wakaribu aliwashuhudia wawili hao wakiwa pamoja, wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa New Maisha Club, Masaki Dar, ambapo kulikuwa na event ya utoaji tuzo za heshima kwa wasanii wa sanaa hiyo iliyopewa jina la Mini- ZIFF Red Carpet.
Hafla hiyo iliandaliwa na Shirikisho la Filamu Zanzibar (ZIFF) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa filamu nchini ambapo wasanii kadhaa walitunukiwa tuzo hizo.
 I rine alipoulizwa akasema: “Usikonde ni mambo madogo, tumeshamalizana.”
Alipotakiwa kueleza namna walivyoyamaliza, hakutoa ushirikiano zaidi ya kusisitiza ni mambo yaliyopita na sasa ni marafiki kama zamani.
“Huyu ni shoga yangu, siku zote wagombanao ndiyo wapatanao. Sasa hivi tupo poa... usiwe na wasiwasi,” alisema na kuangusha kicheko kingine kabla ya kumtupia jicho shosti wake huyo.
Wasanii waliotunukiwa tuzo hizo ni pamoja na Jacob Steven ‘JB’, Thecla Mjata, Steven Kanumba na Vincent Kigosi ‘Ray’.
Wengine ni Juma Salum, Rose Ndauka na Issa Mussa ‘Cloud’.
Ray hakuwepo ukumbini hapo, hivyo swahiba wake ambaye inadaiwa wana bifu la chini kwa chini, Kanumba alimchukulia.

SHILOLE NDOTO YAKE YAKAMILIKA

                                                      SHILOLE

MSANII mrembo wa tasnia ya filamu bongo, Zena Muhamed ‘Shilole‘, amesema anajisikia ni mtu mwenye furaha kwani amechumbiwa na mwanaume mmoja ambaye ni mfanyabiasha wa mafuta kutoka mkoani Tanga. Msanii huyu kwa muda mrefu amekuwa akitafuta mwanaume wa kumuoa ambapo sasa anaonekana kuwa na furaha kwani ndoto yake ya imetimia. Shilole alisema kuwa ndoa yake itafungwa muda wowote baada ya maandalizi...

WEMA SEPETU ASEMA DIAMOND ANA NUKSI !!!

WEMA KATIKA POZI


STAA mwenye nyota ya kukubalika Bongo, Wema Isaac Sepetu amecharuka, akimtuhumu aliyekuwa mchumba wake, Naseeb Abdul ‘Diamond’ kuwa ana nuksi,
Wema aliye Miss Tanzania mwaka 2006 na msanii anayetingisha kwenye soko la filamu za Kibongo kwa sasa, alisema hayo mara baada ya kutoka kwa habari katika gazeti moja linalotoka mara mbili kwa wiki, ikidai bado anamng’ang’ania Diamond.
Katika habari hiyo, Diamond anamtuhumu Wema kuendelea kumganda na kwamba alimfuata nyumbani kwake Sinza Mori, jirani na Baa ya Meeda alipohamia hivi karibuni, kwa lengo la kujaribu kutafuta suluhu.


WEMA ATEMA CHECHE
 Akizungumza kwa njia ya simu, juzi Jumatatu, Wema alisema hana mpango tena na Diamond kama alivyodai kwenye gazeti hilo.
“Sifikirii kuwa naye, halafu mimi ndiye niliyemtema...kwa nini nimhangaikie? Anataka kutafuta umaarufu kupitia jina langu. Kwa nini asifanye mambo yake?
 “Sijazoea kujibizana, kama anataka kusema, aendelee lakini mimi sipo tayari kwa malumbano. Halafu namshangaa sana, kwa nini anamwingiza mama yangu kwenye haya mambo yasiyomhusu?” alifoka Wema.
Alisema, alichokiongea Diamond ni ‘utumbo’ tu na hakuna cha maana kilichomwingia akilini, zaidi ya kumuona kama mfa maji anayetapatapa.


DIAMOND ANA NUKSI
Akienda mbali zaidi, Wema alifunguka kuwa kwa kipindi alichokuwa na Diamond, dili zake nyingi zilikuwa haziendi poa lakini muda mfupi baada ya kuachana naye, kila kitu kinakwenda sawa.
Kwa kauli hiyo, Wema anaonekana kumaanisha kuwa Diamond ana nuksi, ndiyo maana baada ya kutemana naye anakula kuku kwa mrija.
Alisema: “Sikupata kitu nikiwa na Diamond zaidi ya nuksi... tangu nimeachana naye naona mambo yangu yananyooka. Naomba aniache nipange maisha yangu...
“Nipo happy kuliko nilivyokuwa naye, mambo yangu yanakwenda sawa zaidi kuliko mwanzo, sitaki kusikia habari zake. Sitaki kurudia mambo ya zamani ambayo kwangu mimi hayana maana.
“Sasa hivi naishi maisha mapya, nina mipango yangu na inakwenda vizuri, huyo Diamond ni nani kwangu? Sitaki kumsikia kabisa. Nina kazi nyingi za kufanya, siyo kulumbana naye na kufaidisha watu.”
Akaongeza: “Diamond ameshajua nina nyota nzuri, sasa asinitumie kujipandisha chati. Sitaki anishirikishe kwenye mambo yake na nimeshaamua kwamba sitaki kuwa naye, hata yeye anajua. Awe mkweli.”


AMUONYA DIAMOND
Wema alitoa onyo kali kwa Diamond, akimtaka aache kumfuatafuta kwa kuwa kwa sasa kila mtu ana maisha yake.
“Diamond anatakiwa kufahamu kwamba nimeshaachana naye. Basi aniache...Diamond aniache...aniache Diamond...sitaki tena kumsikia. Aniache please,” alisema.

Asteroid to make near-miss fly-by


An asteroid will pass by the Earth on Friday in something of a cosmic near-miss, making its closest approach at about 1600 GMT.


The asteroid, estimated to be about 11m (36ft) in diameter, was first detected on Wednesday.


At its closest, the space rock - named 2012 BX34 - will pass within about 60,000km of Earth - less than a fifth of the distance to the Moon.


Astronomers stress that there is no cause for concern.


"It's one of the closest approaches recorded," said Gareth Williams, associate director of the US-based Minor Planet Center.


"It makes it in to the top 20 closest approaches, but it's sufficiently far away... that there's absolutely no chance of it hitting us," he told the BBC.


The asteroid's path makes it the closest space-rock to pass by the Earth since object 2011 MD in June 2011.


Earlier estimates put the asteroid's closest distance at as little as 20,000km, near the distance at which geostationary satellites reside, but observations by observatories overnight showed it will pass at a more comfortable distance.


Although the asteroid will not be visible to the naked eye, Dr Williams said that keen backyard astronomers could get a look.


"We've had three sets of observations in the last few hours from amateur observers in the UK," he said.

US Man 'Forgotten' After Drink Driving Arrest

A US jury has awarded a man $22m (£12m) after he was kept in solitary confinement without trial for nearly two years over an alleged drink driving offence.


Stephen Slevin, 58, was arrested in August 2005 in Dona Ana County, New Mexico.


He was charged with possession of a stolen vehicle, aggravated driving while under the influence, driving with a suspended licence, possession of an open container of alcohol in a vehicle and improper use of registration.


But his case was not resolved until June 2007, when it was dismissed without prejudice after a district judge found him "incompetent and not dangerous".


Mr Slevin's lawyer said his client had been kept in virtual "false imprisonment" and been left to "decay" in jail.


During his incarceration, he says, he was even forced to pull out his own tooth after he was refused a visit to a dentist.


A picture taken when Mr Slevin was released showed he had grown a lengthy grey beard during his time in jail.


Dona Ana County authorities argued that the length of Mr Slevin's 22-month stay was "entirely" in the hands of the then-district attorney's office, the public defender's office and state District Court.


They pointed out that Mr Slevin's criminal history at the time of his arrest was 26 pages long and said they intended to appeal against the award.

Africa: 78% of elections in 2011 ended in dispute




There were a record 17 presidential elections in Africa in 2011. There were face-offs in Benin, Burkina Faso, Central African Republic, Uganda, Zambia, DR Congo, Sao Tome and Principe, Seychelles, Liberia, Nigeria, Niger, Madagascar, The Gambia, Ivory Coast, Djibouti, Chad, Cameroon and Cape Verde.
Except in Zambia (where the volatile but intriguing Opposition leader Michael Sata defeated president Rupiah Banda), Cape Verde (Islands), Sao Tome & Principe (Islands), and Seychelles (Islands), the rest of the elections ended in tears, heartbreaks, acrimony, arrests, blood, and bullets. That was only 22 percent “successful” elections. Or, put another way, Africa had 78 percent disputed or stolen presidential polls in 2011.


Which raises two uncomfortable questions: Are honest elections unAfrican? Are African rulers generally capable of holding fair presidential polls?


The answer to the first question is we don’t know. And to the second we can say NO; African big men (and now it seems women too if the opponents of Nobel Peace Prize winner Liberia President Ellen Johnson-Sirleaf are to be believed) are mostly incapable of holding clean polls.


There is one racist-sounding, but still “good”, reason why election cheating is so rampant on the continent. Its proponents say it is because Africa didn’t have a tradition of the referee.


I was thinking about this, and figured that in the good old days, if one can put it that way, all sorts of contests in Africa were settled by an honour system. Even to this day, for example, wrestling matches in African village squares have no referee. Two well-oiled men tackle each other, and the one who pushes the other outside the circle or pins the opponent on his back wins.


The announcement of the victor is crowd-sourced, so to speak – the crowd proclaims the winner. Seen from that perspective the referee, in modern context the electoral commission, is in many ways an “illegitimate” intrusion.


That is problematic because in Africa’s case, the very introduction of an electoral commission was necessary because the trust and honour system that delivers a fair result had broken down, yet the authority to call a winner has not been entrusted to the election commission.


Now, Africa had and still has absolute monarchs (the harem-owning King Mswati of Swaziland) who were, of course, not elected. It also had chieftains. Chiefs, however, were kind of elected. Either the clan, village, or council of elders elected the chief.


Fair enough. What happened next is what interests us. Until about 30 years ago in many parts of Africa, once a chief was picked, he died on the job.


Therefore, people like the admirable Tanzanian president Julius Nyerere were right to claim that old Africa had a democratic system of appointing leaders. However, what they didn’t have was a democratic system of removing them.


Even in parts of West Africa today, you find this system of chiefs-for-life. African chiefs ruled so long, by the time they died, villages, wells, and hills would have been named after them because they seemed to outlive everything else. They were deeply embedded in local folklore and oral history.


I can only guess why this aversion for removing people from chiefly positions was strong. In Uganda today, for example, when someone says you have “taken food out of a child’s much”; it means you are the most lowly and despicable person.


I suspect that we equated removing someone from a job to taking food out of his mouth, and there is a part of us that is still queasy about doing that. That might be why we tend to be divided over condemning corrupt rulers – perhaps because it is difficult for many to see what is wrong with “eating”.
Latest News

Cocaine sent to U.N. headquarters


New York (CNN) -- More than 35 pounds of cocaine was discovered in at least one bag that turned up at the United Nations headquarters in New York, police said Thursday.
The narcotics were uncovered on January 16 inside hollowed-out books that had been shipped from Mexico City in a bag made to look like a diplomatic pouch, according to New York police spokesman Paul Browne.


"The actual pouch is blue and has a U.N. symbol, a lock and seal, and words like "Diplomatic Mail," Browne said. "This bag was white instead of blue and had no locked seal and no wording of any kind."
The bag was being screened at the United Nations' postal receiving center when the cocaine was discovered.
It lacked a destination address and was without a return address, Browne added.


U.N. spokesman Martin Nesirky said, "This was not connected to the United Nations, and that's why the host government, the city authorities, in the shape of the NYPD, were brought in to assist."


He said that it "was not a diplomatic pouch."
In a written statement, Nesirky noted that "two suspicious mail bags were intercepted."
Authorities have not located the intended recipient, he said.

Car bomb attack near funeral in Baghdad kills 32 people


suicide car bomber has killed at least 32 people and injured about 60 in a predominantly Shia Muslim district of the Iraqi capital Baghdad.
The bomb went off in a market place as a funeral procession was passing in the city's Zafaraniya district.
A security official told Reuters the bomber had initially attempted to attack a police station.
Attacks in Iraq have risen since US troops left last month, with 16 people killed in attacks on Thursday.
'Taxi bomber'


The suicide attacker struck as mourners escorted by police cars were transporting the body of a man shot a day earlier for burial, police said.


"It was a huge explosion,'' Salam Hussein, a 42-year-old grocery store owner, was quoted as saying by the Associated Press news agency.
Continue reading the main story

Start Quote
The funeral corpses went flying into the air”
Ayman Rabiyah
Eyewitness
One of Mr Hussein's employees was hurt and, as he took him to hospital, he saw cars engulfed in flames.
Where the bomber's car had exploded, he saw "human flesh scattered around and several mutilated bodies in a pool of blood''.
A policeman at the scene, uninjured but covered in dust from the blast, told AFP: "The suicide bomber targeted the funeral procession.

"They were following a tradition that you carry the bodies of the dead from the hospital for a short while before transporting them in a car.
"At that moment, the suicide bomber attacked." 
Ayman Rabiyah, an employee of the Baghdad municipality, said: "I saw a yellow taxi going in the direction of the funeral procession, and then it exploded. 


"The funeral corpses went flying into the air. I carried the dead body of a young girl, and the corpse of a man whose head had been blown off, to the hospital."


Helicopters hovered as security forces cordoned off the site of the explosion, while distraught witnesses screamed in anguish, AFP reports.


Outside the hospital, groups of men called out names, searching for missing relatives.




Inside, people crowded around medics to ask about their loved ones.


One nurse quoted by AFP said simply: "I cannot tell you anything - there are only arms and legs, we do not know who they belong to."


Thirteen people were also killed in bomb attacks on Thursday.


Two brothers - both policemen - and at least eight of their relatives were reported to have been killed after insurgents bombed a house in Musayyib in the south of Baghdad.


Three people were also killed in Kirkuk in a separate bomb attack.
Are you in Zafaraniya? Were you taking part in the funeral procession? Send us your comments below.

Thursday, January 26, 2012

JE KUNA UMUHIMU GANI KATIKA KUTAFUTA VAZI LA TAIFA?

Hivi karibuni kumekua na mzozo mkubwa wa kujadili umuhimu wa kuwa na vazi la taifa. Hii ni baada ya waziri wa habari na Michezo Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi kutoa siku 75 kwa wadau na wabunifu mbali mbali kujadili kuhusu ili suala la vazi la taifa.

Katika mada hii nimeona mijadala mbali mbali kwenye vyombo vya habari na hata mitaani maana kile kinacho ongelewa habarini ndio hicho hicho hujadiliwa mitaani. Lakini nimeona hii mada ni muhimu sana kuiweka kwenu ili tuone katika ualisia wake umuhimu wa kuwa na vazi hili hususan baada ya kuona kwamba kuna mijadala ambayo inapinga kusiweko na mada hii kwasababu eti inatupotezea muda.

Nikitoa mfano wa makala moja niliyoisoma hivi karibuni kwenye gazeti, nanukuu :  WAKATI nchi ikikabiliwa na matatizo mengi makubwa na mazito, serikali kwa kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, imezua kwa mara nyingine tena mjadala usiokuwa na tija yoyote kwa wananchi hususani walalahoi – mjadala wa kutafuta vazi la taifa! Mwisho wa kunukuu.

Ya kiwemo mengi yaliyosemwa ambayo mimi sitaweza kuyataya humu kwa kuogopa kukuchosha, ningependa niseme kitu kimoja. Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa wa maliasili na utamaduni. Sasa nikiwa kama mbunifu wa mitindo na mdau mkubwa wa utamaduni wa kiafrika ninaona si vyema kutumia vazi la kimasai kama kutambulisha Taifa zima la Tanzania. kwanini nasema hivyo? Wamasai ni asilimia ndogo sana ya makabila ya kitanzani na isitoshe wamasai hata kenya wapo. Sasa iweje leo watuongoze kwenye vazi la taifa?

Tukiangalia historia na Picha ninayo hapo juu, Mwalim aliamua kufanya vazi la mgolole lenye asili ya Tabora na Mwanza kuwa vazi la taifa na pia ukiangalia makabila mengi yalikua na asili inayofanana na vazi hilo ila kwa jina tofauti. Mwalim na wenzake kama Sir George Kahama, Rashid Kawawa na wengine wali vaa vazi hilo Kujitambulisha kwamba wao ni Watanganyika na hiyo ndio utambulisho wao (identity) kama taifa hivyo waingereza hawana Budi kutoa uhuru haraka kwa kataifa hili.

Ni kweli Tanzania ya sasa imekumbwa na matatizo mengi ya kiuchumi , kijamii na kisiasa lakini ukweli unabaki pale pale kwamba utambulisho wa taifa ni Muhimu. Hebu tumwone mfalme mswati wa Swaziland, ni mara chache sana anavaa mavazi ya kawaida kama Suti ama mashati na tai, muda mwingi yupo katika mavazi ya kwao ambayo yanampa utambulisho wa kipekee kitaifa na kimataifa.
Mpaka hapo nadhani utakuwa umepata mwangaza wa kwanini taifa hili linaitaji vazi la taifa. Utambulisho ni muhimu pale utakapo kuwa umevaa tofauti na wengine kwa rangi za bendera ya nchi yako ambayo mtu akiona tu atapendezwa nayo ni muhimu sana ndio maana serikali kupitia wizara husika infanya mchakato huo.
Ingawa najiuliza serikali ilikuwa wapi  miaka yote hiyo lakini kwa kufanya uamuzi huo sasa nawapa heko kwa kuona umuhimu wa kumpa Mtanzania utambulisho ambao atajivunia nao. Ningependa nichukue nafasi hii kumpongeza waziri Nchimbi na kamati zima ya vazi la taifa akiwemo Mwenyekiti Joseph Kusaga na Bwana Merinyo kwa kazi nzuri wanayoifanya.




Wednesday, January 25, 2012

KUNDI LA KANGA MOJA LA TIA FORA DAR LIVE.

Ama kweli kume kucha sana Dar hasa ukizingatia kundi la minenguo ya pwani lijulikanalo kama Kanga moja Moko Moko lenye msemo mpya lakini maarufu usemao "laki si Pesa, Milioni Mgogoro" Mitaa ya juzi kati walitia fora ndani ya ukumbi mpya wa DAR LIVE hapo mitaa ya kwetu Mbagalaaa!!

Kundi hili linalosadikiwa kuleta tafrani hasa kwa kuwapagawisha kaka Zetu wakiwemo waume za watu, waliporomosha burudani ya kukata mauno kwa kwenda mbele kuthibitisha ule msemo wao mwingine unaowaambia washabiki waone jinsi kanga inavyo vyaliwa, Ulileta tafraani kubwa pale kundi hilo lilipo paramia jukwaa la kisasa na  kuwapagawisha mashabiki wao kikweli kweli.



Burudani yao kanga Moko ndembe ndembe ilisindikizwa na Burudani kutoka Extra bongo na Mashujaa Band bila ya kumsau Jike la simba bibie Isha Mashauzi, ili tia fora sana kwa watu wa Mbagala na kuacha gumzo kuu ndani ya jiji hili la Sadik.


Ingawa kundi hili linaongoza sana katika miondo ya yonga hapa jijini na lilikua na wapinzani wake kama Kitu-K na kitu -T sasa hivi limepata wapinzani wakubwa sana wakata nyonga wenzao kutoka mji ule wa waja leo waondoka leo yaani Tanga, kundi ambalo linajulikana kama Baikoko. Kundi hili lilileta tafrani ya aina yake pale lilipo kutanishwa na kundi hili la Kanga Moko.

                                                 Hawa nao ndio wanenguaji wa kitu Tigo.

Hapa sasa sijui ndio mieleka ama ndio staili.
Katika hali hiyo hiyo Muimbaji kutoka visiwa vinavyosifika kwa kuzalisha zao la karafuu hapa nchi yaani A.T. alijitokeza za na wanenguaji wake nao wakiwa na staili hizo hizo ambazo wengi tuliwaona katika video za nyimbo zake alizoshirikiana na kikundi cha offside Trick nacho cha huko huko visiwani, walionyesha umahiri mkubwa wa kupambana na kikundi hiki cha kanga moko hivyo kuleta upinzani mkubwa na burudani kwa washabiki wao ambao wengi ni wakina kaka.

 Mmoja kati ya wanenguaji wa kundi la kanga moko

Tukiachana na burudani inayoletwa na kundi hili pia kume kuwa na tuhuma kuu kuhusuana na wakina dada hawa (wanenguaji) kujihusisha na waume za watu. Ingawa tuhuma hizo blog hii haijaweza kuthibitisha lakini inatoa ushauri wa bure kwa wana kundi hili na wengine kama hawa kwamba walete burudani lakini wasijihusishe na tabia za kuchukua waume za watu, kisa? wamewafwata wenyewe hivyo watunze maadili na kuheshimu kazi yao haswa ukizingatia ajira zenyewe ni za kutafuta sana.





Tuesday, January 24, 2012

MAZISHI YA MAREHEMU SUMARI MBUNGE LEMA AZUA TAFLANI MSIBANI

Jeneza la marehemu Sumari likishushwa

Jana kwenye mazishi ya aliekuwa  mbunge wa Arumeru magharibi  marehemu Jeremiah Sumari yaliingia dosari baada ya Mbunge wa Arusha town Godbles Lema kuzua taflani,ripoti hizo zinasema bwana Lema alionekana akinyoosha vidole juu viwili kama alama ya Chadema kwa Wananchi waliokuwa hapo msibani kitendo hicho kinachukuliwa kama kejeli za kisiasa ikiwa marehemu huyo alikuwa ni mbunge wa hapo kupitia chama cha mapinduzi (ccm),taflani hiyo iliendelea mpaka mh Lema alipoondoka hapo msibani na mazishi yaliendelea.