Saturday, November 27, 2010

DARLING HAIR NAO WATOA ZAWADI KWA WAREMBO TZ NEXT TOP MODEL


Kampuni ya kutengeneza nywele tanzani Darling industry leo imetoa zawadi kwa washiriki wa kinyanganyiro cha kumsaka TANZANIA NEXT TOP MODEL 2010 itakayofanyika 3 december 2010 ndani ya SWEET EASY Osterbay.
akipokea zawadi hizo mkurugenzi wa kampuni ya Smiling faces na waandaji wa shindano hilo Carolyne Zayum ba ktk ofisi za Darling zilizopo maeneo ya Tazara mjini Dar es salaam,Smiling faces wanatoa shukrani kwa wadhamini wa DARLING & SHEAR ILLUSION

No comments:

Post a Comment

wadau unakaribishiwa kutoa comment ilimradi ziwe za kujenga na kuelimisha pia